Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:67 - Swahili Revised Union Version

67 Ndipo wakamtemea mate usoni, wakampiga ngumi; na wengine wakampiga makofi,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

67 Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

67 Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

67 Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wengine wakiwa wanampiga makofi,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

67 Kisha wakamtemea mate usoni na wengine wakampiga ngumi. Wengine wakampiga makofi

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

67 Kisha wakamtemea mate usoni na wengine wakampiga ngumi. Wengine wakampiga makofi

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

67 Ndipo wakamtemea mate usoni, wakampiga ngumi; na wengine wakampiga makofi,

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:67
24 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo akakaribia Sedekia, mwana wa Kenaana, akampiga Mikaya kofi la shavu, akasema, Roho ya BWANA alitokaje kwangu ili aseme na wewe?


Niliwatolea wapigao mgongo wangu, na wang'oao ndevu mashavu yangu; sikuficha uso wangu usipate fedheha na kutemewa mate.


Kama vile wengi walivyokustaajabia, (uso wake ulikuwa umeharibiwa sana zaidi ya mtu yeyote, na umbo lake zaidi ya wanadamu),


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Ndipo Pashuri akampiga Yeremia, nabii, akamtia katika mkatale, uliokuwa pale penye lango la juu la Benyamini, lililokuwa katika nyumba ya BWANA.


Na amwelekezee yule ampigaye shavu lake; Ashibishwe mashutumu.


Umetufanya kuwa takataka, na vifusi Katikati ya mataifa.


Sasa utajikusanya vikosi vikosi, Ee binti wa vikosi; yeye amemhusuru; watampiga mwamuzi wa Israeli shavuni mwake kwa fimbo.


BWANA akamwambia Musa, Je! Kama baba yake angalimtemea mate usoni tu, hangaliona aibu muda wa siku saba? Na afungwe nje ya kambi muda wa siku saba, kisha baada ya hayo ataletwa ndani tena.


wakisema, Ewe Kristo, tufumbulie; ni nani aliyekupiga?


Kisha wakamtemea mate, wakautwaa ule mwanzi, wakampigapiga kichwani.


Lakini mimi nawaambia, Msishindane na mtu mwovu; lakini mtu akupigaye shavu la kulia, mgeuzie na la pili.


nao watamdhihaki, na kumtemea mate, na kumpiga mijeledi, na kumwua; na baada ya siku tatu atafufuka.


Wengine wakaanza kumtemea mate, wakamfunika uso, na kumpiga makonde, na kumwambia, tabiri. Hata watumishi nao wakamchukua wakampiga makofi.


Wakampiga mwanzi wa kichwa, wakamtemea mate, wakapiga magoti, wakamsujudia.


Basi aliposema hayo, mtumishi mmojawapo aliyesimama karibu alimpiga Yesu kofi akisema, Wamjibu hivi Kuhani Mkuu?


Wakawa wakimwendea, wakisema, Salamu! Mfalme wa Wayahudi! Wakampiga makofi.


tukisingiziwa twasihi; tumefanywa kama takataka za dunia, na kuwa duni ya vitu vyote hata sasa.


ndipo mke wa nduguye amkaribie mbele ya hao wazee, amvue kiatu chake mguuni mwake, na kumtemea mate ya uso; kisha atajibu yule mwanamke, aseme, Mume akataaye kumjengea nduguye nyumba yake na afanywe hivi.


tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo