Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:66 - Swahili Revised Union Version

66 mwaonaje ninyi? Wakajibu, wakasema, Imempasa kuuawa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

66 Nyinyi mwaonaje?” Wao wakamjibu, “Anastahili kufa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

66 Nyinyi mwaonaje?” Wao wakamjibu, “Anastahili kufa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

66 Nyinyi mwaonaje?” Wao wakamjibu, “Anastahili kufa!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

66 Uamuzi wenu ni gani?” Wakajibu, “Anastahili kufa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

66 Uamuzi wenu ni gani?” Wakajibu, “Anastahili kufa.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

66 mwaonaje ninyi? Wakajibu, wakasema, Imempasa kuuawa.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:66
8 Marejeleo ya Msalaba  

Ndiyo malipo ya washitaki wangu toka kwa BWANA, Na ya hao wanaoisingizia nafsi yangu mabaya.


Ndipo hapo makuhani, na manabii, wakawaambia wakuu na watu wote, wakisema, Mtu huyu anastahili hukumu ya kifo, kwa sababu ametabiri juu ya mji huu, kama mlivyosikia kwa masikio yenu.


Wayahudi wakamjibu, Sisi tunayo sheria, na kwa sheria hiyo amestahili kufa, kwa sababu alijifanya kuwa Mwana wa Mungu.


Ni yupi katika manabii ambaye baba zenu hawakumwudhi? Nao waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki; ambaye ninyi sasa mmekuwa wasaliti wake, mkamwua;


Ikiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa, nawe ukamtundika juu ya mti;


Mmehukumu mwenye haki mkamwua; wala hashindani nanyi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo