Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:13 - Swahili Revised Union Version

Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayoshuhudia juu yako?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayoshuhudia juu yako?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:13
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Kuhani Mkuu akasimama akamwambia, Hujibu neno? Hawa wanakushuhudia nini?


Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.


Asimjibu hata neno moja, hata mtawala akastaajabu sana.


Pilato akajibu, Ama! Ni Myahudi mimi! Taifa lako na wakuu wa makuhani ndio waliokuleta kwangu. Umefanya nini?


yule jemadari akaamuru aletwe ndani ya ngome, akisema aulizwe habari zake kwa kupigwa mijeledi, ili ajue sababu hata wakampigia kelele namna hii.