Mathayo 27:13 - Swahili Revised Union Version Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayoshuhudia juu yako? Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?” Biblia Habari Njema - BHND Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Hivyo Pilato akamwuliza, “Je, husikii mashtaka hayo yote wanayotoa juu yako?” Neno: Bibilia Takatifu Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?” Neno: Maandiko Matakatifu Ndipo Pilato akamuuliza, “Je, husikii ni mambo mangapi wanayokushtaki nayo?” BIBLIA KISWAHILI Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayoshuhudia juu yako? |
Pilato akajibu, Ama! Ni Myahudi mimi! Taifa lako na wakuu wa makuhani ndio waliokuleta kwangu. Umefanya nini?
yule jemadari akaamuru aletwe ndani ya ngome, akisema aulizwe habari zake kwa kupigwa mijeledi, ili ajue sababu hata wakampigia kelele namna hii.