Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:8 - Swahili Revised Union Version

Wanafunzi wake walipoona, wakakasirika, wakasema, Ni wa nini upotevu huu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wake walipoona hayo wakakasirika, wakasema, “Ya nini hasara hii?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wake walipoona hayo wakakasirika, wakasema, “Ya nini hasara hii?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wake walipoona hayo wakakasirika, wakasema, “Ya nini hasara hii?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini wanafunzi wake walipoona hayo wakakasirika, wakasema, “Upotevu huu wote ni wa nini?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini wanafunzi wake walipoona hayo wakakasirika, wakasema, “Upotevu huu wote ni wa nini?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanafunzi wake walipoona, wakakasirika, wakasema, Ni wa nini upotevu huu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:8
12 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Wavivu ninyi; wavivu; kwa ajili hii mwasema, Tupe ruhusa twende kumtolea BWANA dhabihu.


Tena nikagundua kuwa juhudi zote, na ustadi wote katika kazi, hutokana na mtu kumwonea mwingine wivu. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


mkisema, Mwezi mpya utaondoka lini, tupate kuuza nafaka? Na sabato nayo, tupate kuandaa ngano? Mkiipunguza efa na kuiongeza shekeli, mkidanganya watu kwa mizani ya udanganyifu;


Tena mwasema, Tazama, jambo hili linatuchokesha namna gani! Nanyi mmelidharau, asema BWANA wa majeshi; nanyi mmeleta kitu kilichopatikana kwa udhalimu, na kilema, na kilicho kigonjwa; ndivyo mnavyoleta sadaka; je! Niikubali hii mikononi mwenu? Asema BWANA.


Na wale kumi waliposikia, waliwakasirikia wale ndugu wawili.


mwanamke mwenye kibweta cha marhamu ya thamani kubwa alimkaribia akaimimina kichwani pake alipoketi chakulani.


Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa fedha nyingi wakapewa maskini.


Palikuwa na watu waliochukizwa katika nafsi zao wakisema, Kwa nini kupoteza marhamu namna hii?