Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:4 - Swahili Revised Union Version

4 Palikuwa na watu waliochukizwa katika nafsi zao wakisema, Kwa nini kupoteza marhamu namna hii?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika, wakajisemea, “Kwa nini kupoteza ovyo marashi haya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika, wakajisemea, “Kwa nini kupoteza ovyo marashi haya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Baadhi ya watu waliokuwa hapo walikasirika, wakajisemea, “Kwa nini kupoteza ovyo marashi haya?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Baadhi ya watu waliokuwa pale walikasirika na wakasemezana, “Upotevu huu wote wa manukato ni wa nini?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Baadhi ya watu waliokuwepo pale walikuwa wakisemezana wao kwa wao, “Upotevu huu wote ni wa nini?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 Palikuwa na watu waliochukizwa katika nafsi zao wakisema, Kwa nini kupoteza marhamu namna hii?

Tazama sura Nakili




Marko 14:4
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tena nikagundua kuwa juhudi zote, na ustadi wote katika kazi, hutokana na mtu kumwonea mwingine wivu. Hayo nayo ni ubatili na kufukuza upepo.


Na wale kumi waliposikia, waliwakasirikia wale ndugu wawili.


Naye alipokuwapo Bethania, nyumbani mwa Simoni mwenye ukoma, akiwa amekaa mezani, alikuja mwanamke mwenye chupa ya marhamu yenye manukato ya nardo safi ya thamani kubwa; akaivunja chupa akaimimina kichwani pake.


Maana marhamu hii ingaliweza kuuzwa kwa dinari mia tatu na kuzidi, wakapewa maskini. Wakamnung'unikia sana yule mwanamke.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo