Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:30 - Swahili Revised Union Version

Nao walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka wakaenda Mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka wakaenda Mlima wa Mizeituni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:30
11 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokaribia Yerusalemu, na kufika Bethfage, katika mlima wa Mizeituni, ndipo Yesu alipotuma wanafunzi wawili akiwaambia,


Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.


Basi, kila mchana alikuwa akifundisha hekaluni, na usiku huenda kulala katika mlima uitwao wa Mizeituni.


Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;


Akatoka akaenda mpaka mlima wa Mizeituni kama ilivyokuwa desturi yake; wanafunzi wake nao wakafuatana naye.


Lakini ulimwengu ujue ya kuwa nampenda Baba; na kama vile Baba alivyoniamuru; ndivyo nifanyavyo. Ondokeni, twendeni zetu.