Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 22:39 - Swahili Revised Union Version

39 Akatoka akaenda mpaka mlima wa Mizeituni kama ilivyokuwa desturi yake; wanafunzi wake nao wakafuatana naye.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

39 Yesu akatoka, na kama ilivyokuwa desturi yake, akaenda katika mlima wa Mizeituni; wanafunzi wake wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

39 Yesu akatoka, na kama ilivyokuwa desturi yake, akaenda katika mlima wa Mizeituni; wanafunzi wake wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

39 Yesu akatoka, na kama ilivyokuwa desturi yake, akaenda katika mlima wa Mizeituni; wanafunzi wake wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

39 Isa akatoka, akaenda kwenye Mlima wa Mizeituni kama ilivyokuwa kawaida yake, nao wanafunzi wake wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

39 Isa akatoka, akaenda kwenye Mlima wa Mizeituni kama ilivyokuwa kawaida yake, nao wanafunzi wake wakamfuata.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

39 Akatoka akaenda mpaka mlima wa Mizeituni kama ilivyokuwa desturi yake; wanafunzi wake nao wakafuatana naye.

Tazama sura Nakili




Luka 22:39
10 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokaribia Yerusalemu, na kufika Bethfage, katika mlima wa Mizeituni, ndipo Yesu alipotuma wanafunzi wawili akiwaambia,


Nao walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda katika mlima wa Mizeituni.


Naye akaingia Yerusalemu hata ndani ya hekalu; na alipokwisha kutazama yote pande zote, kwa kuwa ni wakati wa jioni, akatoka, akaenda Bethania pamoja na wale Kumi na Wawili.


Na kulipokuwa jioni alitoka mjini.


Na alipokuwa ameketi katika mlima wa Mizeituni, kuelekea hekalu Petro, na Yakobo, na Yohana, na Andrea walimwuliza kwa faragha,


Nao walipokwisha kuimba walitoka kwenda katika mlima wa Mizeituni.


Basi, kila mchana alikuwa akifundisha hekaluni, na usiku huenda kulala katika mlima uitwao wa Mizeituni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo