Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:30 - Swahili Revised Union Version

30 Nao walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Baada ya kuimba wimbo, wakaondoka, wakaenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka wakaenda Mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Walipokwisha kuimba wimbo, wakatoka wakaenda Mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

30 Nao walipokwisha kuimba, wakatoka nje kwenda katika mlima wa Mizeituni.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:30
11 Marejeleo ya Msalaba  

Walipokaribia Yerusalemu, na kufika Bethfage, katika mlima wa Mizeituni, ndipo Yesu alipotuma wanafunzi wawili akiwaambia,


Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.


Basi, kila mchana alikuwa akifundisha hekaluni, na usiku huenda kulala katika mlima uitwao wa Mizeituni.


Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;


Akatoka akaenda mpaka mlima wa Mizeituni kama ilivyokuwa desturi yake; wanafunzi wake nao wakafuatana naye.


Lakini ulimwengu ujue ya kuwa nampenda Baba; na kama vile Baba alivyoniamuru; ndivyo nifanyavyo. Ondokeni, twendeni zetu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo