Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:23 - Swahili Revised Union Version

Akajibu akasema, Yeye aliyetia mkono wake pamoja nami katika bakuli, ndiye atakayenisaliti.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akajibu, “Anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akajibu, “Anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akajibu, “Anayechovya mkate pamoja nami katika bakuli ndiye atakayenisaliti.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa akawaambia, “Yule aliyechovya mkono wake katika bakuli pamoja nami ndiye atakayenisaliti.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa akawaambia, “Yule aliyechovya mkono wake katika bakuli pamoja nami ndiye atakayenisaliti.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akajibu akasema, Yeye aliyetia mkono wake pamoja nami katika bakuli, ndiye atakayenisaliti.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:23
6 Marejeleo ya Msalaba  

Hata rafiki yangu mwandani niliyemtumaini, Aliyekula pamoja nami, Ameniinulia kisigino chake.


Mtu mvivu hutia mkono wake katika sahani; Wala hataki hata kuupeleka kinywani pake.


Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?


Lakini, tazama, mkono wake yeye anayenisaliti upo hapa pamoja nami mezani,


Sisemi habari za ninyi nyote; nawajua wale niliowachagua; lakini andiko lipate kutimizwa, Aliyekula chakula changu Ameniinulia kisigino chake.