Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:22 - Swahili Revised Union Version

Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, “Bwana! Je, ni mimi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, “Bwana! Je, ni mimi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wakahuzunika sana, wakaanza kuuliza mmojammoja, “Bwana! Je, ni mimi?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakahuzunika sana, wakaanza kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakahuzunika sana, wakaanza kumuuliza mmoja baada ya mwingine, “Je, ni mimi Bwana?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakahuzunika sana, wakaanza kumwuliza mmoja mmoja, Ni mimi, Bwana?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nao walipokuwa wakila, alisema, Amin, nawaambia, Mmoja wenu atanisaliti.


Akajibu akasema, Yeye aliyetia mkono wake pamoja nami katika bakuli, ndiye atakayenisaliti.


Wakaanza kuulizana wao kwa wao, ni yupi miongoni mwao atakayelitenda jambo hilo.


Akamwambia mara ya tatu, Simoni wa Yohana, wanipenda? Petro alihuzunika kwa vile alivyomwambia mara ya tatu, Wanipenda? Akamwambia, Bwana, wewe wajua yote; wewe umetambua ya kuwa nakupenda. Yesu akamwambia, Lisha kondoo wangu.


Lakini mtu ajihoji mwenyewe, na hivyo aule mkate, na kukinywea kikombe.