Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:25 - Swahili Revised Union Version

Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sikilizeni, nimekwisha waonya kabla ya wakati.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sikilizeni, nimekwisha waonya kabla ya wakati.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sikilizeni, nimekwisha waonya kabla ya wakati.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tazameni, nimekwisha kuwaambia mapema.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Angalieni, nimekwisha kuwaambia mapema.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Tazama, nimekwisha kuwaonya mbele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:25
9 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.


Kwa maana watatokea Makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, ikiwezekana, hata walio wateule.


Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani, msisadiki.


Na hayo yatakuwa ushuhuda kwenu.


Maneno hayo nimewaambia, msije mkakwazwa.


Nimetangulia kuwaambia; na, kama vile nilipokuwapo mara ya pili, vivyo hivyo sasa nisipokuwapo, nawaambia wazi wao waliotenda dhambi tangu hapo, na wengine wote, ya kwamba, nikija, sitahurumia;