Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yohana 16:1 - Swahili Revised Union Version

1 Maneno hayo nimewaambia, msije mkakwazwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 “Nimewaambieni hayo kusudi msiiache imani yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 “Nimewaambieni hayo kusudi msiiache imani yenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 “Nimewaambieni hayo kusudi msiiache imani yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 “Nimewaambia mambo haya yote ili msije mkaiacha imani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 “Nimewaambia mambo haya yote ili msije mkaiacha imani.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

1 Maneno hayo nimewaambia, msije mkakwazwa.

Tazama sura Nakili




Yohana 16:1
11 Marejeleo ya Msalaba  

Naye heri awaye yote asiyechukizwa nami.


lakini hana mizizi ndani yake, bali hudumu kwa muda; ikitukia dhiki au udhia kwa ajili ya lile neno, mara huchukizwa.


Wakachukizwa naye. Yesu akawaambia, Nabii hakosi kupata heshima, isipokuwa katika nchi yake, na nyumbani mwake mwenyewe.


Ndipo wengi watakapojikwaa, nao watasalitiana, na kuchukiana.


Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.


Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi niliwaambia. Sikuwaambia hayo tangu mwanzo, kwa sababu nilikuwapo pamoja nanyi.


Ni vyema kutokula nyama wala kunywa divai wala kutenda neno lolote ambalo kwa hilo ndugu yako hukwazwa.


mpate kuyakubali yaliyo mema; ili mpate kuwa na mioyo safi, bila kosa, mpaka siku ya Kristo;


Tena, Jiwe la kujikwaza mguu, na mwamba wa kuangusha. Kwa maana hujikwaza kwa neno lile, wasiliamini, nao waliwekwa kusudi wapate hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo