Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 23:10 - Swahili Revised Union Version

Wala msiitwe viongozi; maana Kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wala msiitwe ‘Viongozi,’ maana kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wala msiitwe ‘Viongozi,’ maana kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye Kristo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wala msiitwe ‘Viongozi,’ maana kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye Kristo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wala msiitwe ‘Mwalimu,’ kwa maana mnaye mwalimu mmoja tu, ndiye Al-Masihi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wala msiitwe ‘Mwalimu,’ kwa maana mnaye Mwalimu mmoja tu, ndiye Al-Masihi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala msiitwe viongozi; maana Kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 23:10
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.


Bali ninyi msiitwe Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.


Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.


Akasema, Nendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie, Mwalimu asema, Majira yangu ni karibu; kwako nitafanya Pasaka pamoja na wanafunzi wangu.


Tena kuna huduma tofauti, na Bwana ni yeye yule.