Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 23:10 - Swahili Revised Union Version

10 Wala msiitwe viongozi; maana Kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Wala msiitwe ‘Viongozi,’ maana kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Wala msiitwe ‘Viongozi,’ maana kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Wala msiitwe ‘Viongozi,’ maana kiongozi wenu ni mmoja tu, ndiye Kristo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Wala msiitwe ‘Mwalimu,’ kwa maana mnaye mwalimu mmoja tu, ndiye Al-Masihi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Wala msiitwe ‘Mwalimu,’ kwa maana mnaye Mwalimu mmoja tu, ndiye Al-Masihi.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Wala msiitwe viongozi; maana Kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.

Tazama sura Nakili




Mathayo 23:10
5 Marejeleo ya Msalaba  

Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.


Bali ninyi msiitwe Rabi, maana mwalimu wenu ni mmoja, nanyi nyote ni ndugu.


Wala msimwite mtu baba duniani; maana Baba yenu ni mmoja, aliye wa mbinguni.


Akasema, Nendeni mjini kwa mtu fulani, mkamwambie, Mwalimu asema, Majira yangu ni karibu; kwako nitafanya Pasaka pamoja na wanafunzi wangu.


Tena kuna huduma tofauti, na Bwana ni yeye yule.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo