Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 23:11 - Swahili Revised Union Version

11 Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Yeye aliye mkuu kuliko ninyi nyote miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Yeye aliye mkuu kuliko ninyi nyote miongoni mwenu atakuwa mtumishi wenu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Naye aliye mkubwa wenu atakuwa mtumishi wenu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 23:11
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wala msiitwe viongozi; maana Kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.


Akaketi chini, akawaita wale Kumi na Wawili akawaambia, Mtu atakaye kuwa wa kwanza atakuwa wa mwisho kuliko wote, na mtumishi wa wote.


Maana, ingawa nimekuwa huru kwa watu wote, nilijifanya mtumwa wa wote, ili nipate watu wengi zaidi.


Wao ni wahudumu wa Kristo? (Nanena kiwazimu), mimi ni zaidi; katika taabu kuzidi sana; katika vifungo kuzidi sana; katika mapigo kupita kiasi; katika mauti mara nyingi.


Kwa maana hatujihubiri wenyewe, bali Kristo Yesu ya kuwa ni Bwana; na sisi wenyewe kuwa tu watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.


Maana ninyi, ndugu, mliitwa mpate uhuru; lakini uhuru wenu usiwe sababu ya kuufuata mwili, bali tumikianeni kwa upendo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo