Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:40 - Swahili Revised Union Version

Katika amri hizi mbili hutegemea Torati yote na vitabu vya Manabii.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amri hizi mbili ndizo msingi wa Torati na Manabii.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amri hizi mbili ndizo msingi wa Torati na Manabii.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika amri hizi mbili hutegemea Torati yote na vitabu vya Manabii.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:40
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi yoyote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo Torati na Manabii.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.


Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yoyote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.


Maana torati yote imetimilika katika neno moja, nalo ni hili, Umpende jirani yako kama nafsi yako.


Lakini lengo la agizo hili ni kuleta upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki.


Lakini mkiitimiza ile sheria ya kifalme kama ilivyoandikwa, Mpende jirani yako kama nafsi yako, mwatenda vema.