Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 22:40 - Swahili Revised Union Version

40 Katika amri hizi mbili hutegemea Torati yote na vitabu vya Manabii.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Sheria yote ya Mose na mafundisho ya manabii vinategemea amri hizi mbili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Amri hizi mbili ndizo msingi wa Torati na Manabii.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Amri hizi mbili ndizo msingi wa Torati na Manabii.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 Katika amri hizi mbili hutegemea Torati yote na vitabu vya Manabii.

Tazama sura Nakili




Mathayo 22:40
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi yoyote myatakayo mtendewe na watu, nanyi watendeeni vivyo hivyo; maana hiyo ndiyo Torati na Manabii.


Kwa kuwa torati ilitolewa kwa mkono wa Musa; neema na kweli zilikuja kwa mkono wa Yesu Kristo.


Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yoyote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako.


Maana torati yote imetimilika katika neno moja, nalo ni hili, Umpende jirani yako kama nafsi yako.


Lakini lengo la agizo hili ni kuleta upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki.


Lakini mkiitimiza ile sheria ya kifalme kama ilivyoandikwa, Mpende jirani yako kama nafsi yako, mwatenda vema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo