1 Timotheo 1:5 - Swahili Revised Union Version5 Lakini lengo la agizo hili ni kuleta upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kusudi la maagizo haya ni upendo unaotoka katika moyo safi, dhamiri safi na imani ya kweli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kusudi la maagizo haya ni upendo utokao katika moyo safi, dhamiri njema na imani ya kweli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI5 Lakini lengo la agizo hili ni kuleta upendo utokao katika moyo safi na dhamiri njema, na imani isiyo na unafiki. Tazama sura |