Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




1 Timotheo 1:6 - Swahili Revised Union Version

6 Wengine wakiyakosa hayo wamegeukia maneno ya ubatili;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Wengine wakiyakosa hayo wamegeukia maneno ya ubatili;

Tazama sura Nakili




1 Timotheo 1:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisini na tisa, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?


Kwa maana wengine wamekwisha kugeuka na kumfuata Shetani.


waliopotoka kutoka kwenye kweli, wakisema ya kwamba kiyama imekwisha tokea, hata kuipindua imani ya watu kadhaa.


Maana Dema aliniacha, akiupenda ulimwengu huu wa sasa, akasafiri kwenda Thesalonike; Kreske amekwenda Galatia; Tito amekwenda Dalmatia.


Kwa maana kuna wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo na maana, wadanganyaji, na hasa wale wa tohara, ambao yapasa wazibwe vinywa vyao.


Lakini ujiepushe na mabishano ya kipumbavu, nasaba, magomvi, na mabishano ya sheria. Kwa kuwa hayana manufaa, tena hayafai kitu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo