Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:23 - Swahili Revised Union Version

Siku ile Masadukayo, watu wasemao ya kwamba hakuna kiyama, wakamwendea, wakamwuliza,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Siku hiyo, baadhi ya Masadukayo wasemao wafu hawafufuki walimwendea Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Siku hiyo, baadhi ya Masadukayo wasemao wafu hawafufuki walimwendea Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Siku hiyo, baadhi ya Masadukayo wasemao wafu hawafufuki walimwendea Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Siku hiyo hiyo Masadukayo, wale wasemao kuwa hakuna ufufuo wa wafu, wakamjia Isa na kumuuliza swali, wakisema,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Siku hiyo hiyo Masadukayo, wale wasemao kwamba hakuna ufufuo wa wafu, wakamjia Isa na kumuuliza swali, wakisema,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku ile Masadukayo, watu wasemao ya kwamba hakuna kiyama, wakamwendea, wakamwuliza,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Angalieni, jilindeni na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo.


Na alipoona wengi miongoni mwa Mafarisayo na Masadukayo wakiujia ubatizo wake, aliwaambia, Enyi wazawa wa nyoka, ni nani aliyewaonya ninyi kuikimbia hasira itakayokuja?


Hata walipokuwa wakisema na watu wale, makuhani na walinzi wa hekalu na Masadukayo wakawatokea,


Akaondoka Kuhani Mkuu na wote waliokuwa pamoja naye, (hao ndio walio wa madhehebu ya Masadukayo), wamejaa wivu,


waliopotoka kutoka kwenye kweli, wakisema ya kwamba kiyama imekwisha tokea, hata kuipindua imani ya watu kadhaa.