Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:20 - Swahili Revised Union Version

Akawaambia, Ni ya nani sanamu hii, na anwani hii?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yesu akawauliza, “Sura na chapa hii ni ya nani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yesu akawauliza, “Sura na chapa hii ni ya nani?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yesu akawauliza, “Sura na chapa hii ni ya nani?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye akawauliza, “Sura hii ni ya nani? Na maandishi haya ni ya nani?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye akawauliza, “Sura hii ni ya nani? Na maandishi haya ni ya nani?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaambia, Ni ya nani sanamu hii, na anwani hii?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nionesheni fedha ya kodi. Nao wakamletea dinari.


Wakamwambia, Ni ya Kaisari. Akawaambia, Basi, mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na Mungu yaliyo ya Mungu.


Wakaileta. Akawaambia, Ni ya nani sanamu hii na anwani hii? Wakamwambia, Ni ya Kaisari.


Nionesheni dinari. Ina sura na anwani ya nani? Wakamjibu, Ya Kaisari.