Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 20:10 - Swahili Revised Union Version

Na wale wa kwanza walipokuja, walidhani kwamba watapokea zaidi; na hao pia wakapokea kila mtu dinari.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wale wa kwanza walipofika, walikuwa wanadhani watapewa zaidi; lakini hata wao wakapewa kila mmoja dinari moja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wale wa kwanza walipofika, walikuwa wanadhani watapewa zaidi; lakini hata wao wakapewa kila mmoja dinari moja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wale wa kwanza walipofika, walikuwa wanadhani watapewa zaidi; lakini hata wao wakapewa kila mmoja dinari moja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo wale walioajiriwa kwanza walipofika, walidhani watalipwa zaidi. Lakini kila mmoja wao pia alipokea dinari moja.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo wale walioajiriwa kwanza walipofika, walidhani watalipwa zaidi. Lakini kila mmoja wao pia alipokea dinari moja.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wale wa kwanza walipokuja, walidhani kwamba watapokea zaidi; na hao pia wakapokea kila mtu dinari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 20:10
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Petro akajibu, akamwambia, Tazama, sisi tumeacha vyote tukakufuata; tutapata nini basi?


Basi wakiisha kuipokea, wakamnung'unikia mwenye nyumba,


Naye alipokwisha kupatana na wafanya kazi kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu.


Na walipokuja wale wa saa kumi na moja, walipokea kila mtu dinari.