Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 20:9 - Swahili Revised Union Version

9 Na walipokuja wale wa saa kumi na moja, walipokea kila mtu dinari.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja fedha dinari moja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja fedha dinari moja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja fedha dinari moja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 “Wale vibarua walioajiriwa saa kumi na moja wakaja, na kila mmoja wao akapokea dinari moja.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 “Wale vibarua walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakaja na kila mmoja wao akapokea dinari moja.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Na walipokuja wale wa saa kumi na moja, walipokea kila mtu dinari.

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:9
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na wale wa kwanza walipokuja, walidhani kwamba watapokea zaidi; na hao pia wakapokea kila mtu dinari.


Naye alipokwisha kupatana na wafanya kazi kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu.


Kulipokuchwa, yule bwana wa shamba akamwambia msimamizi wake, Waite wafanya kazi, uwalipe ujira wao, ukianzia wa mwisho hadi wa kwanza.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo