Mathayo 20:9 - Swahili Revised Union Version9 Na walipokuja wale wa saa kumi na moja, walipokea kila mtu dinari. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema9 Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja fedha dinari moja. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND9 Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja fedha dinari moja. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza9 Basi, wakaja wale walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakapokea kila mmoja fedha dinari moja. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu9 “Wale vibarua walioajiriwa saa kumi na moja wakaja, na kila mmoja wao akapokea dinari moja. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu9 “Wale vibarua walioajiriwa mnamo saa kumi na moja, wakaja na kila mmoja wao akapokea dinari moja. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI9 Na walipokuja wale wa saa kumi na moja, walipokea kila mtu dinari. Tazama sura |