Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 15:8 - Swahili Revised Union Version

Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

‘Mungu asema: Watu hawa huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

‘Mungu asema: Watu hawa huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

‘Mungu asema: Watu hawa huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“ ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“ ‘Watu hawa huniheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali nami.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 15:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanangu, nipe moyo wako; Macho yako yapendezwe na njia zangu.


Bwana akanena, Kwa kuwa watu hawa hunikaribia na kuniheshimu kwa vinywa vyao, bali mioyo yao wamefarakana nami, na kicho chao walichonacho kwangu ni maagizo ya wanadamu waliyofundishwa;


Umewapanda, naam, wametia mizizi, wanakua, naam, wanazaa matunda; katika vinywa vyao u karibu, bali katika mioyo yao u mbali.


Nao huja kwako kama watu wajavyo, nao hukaa mbele yako kama watu wangu, nao husikia maneno yako, wasiyatende; maana kwa vinywa vyao hujifanya kuwa wenye upendo mwingi, lakini mioyo yao inatafuta faida yao.


Enyi wanafiki, ni vema alivyotabiri Isaya kwa habari zenu, akisema,


Akawaambia, Isaya alitabiri vema juu yenu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa, Watu hawa huniheshimu kwa midomo Ila mioyo yao iko mbali nami;


Basi Yesu akamwona Nathanaeli anakuja kwake, akanena habari zake, Tazama, Mwisraeli kweli kweli, hamna hila ndani yake.


ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.


Huna fungu wala huna sehemu katika jambo hili, kwa kuwa moyo wako si mnyofu mbele za Mungu.


Hadharini, ndugu zangu, usiwepo katika mmoja wenu moyo mbovu wa kutoamini, ujitengao na Mungu aliye hai.


Kwa maana, Atakaye kupenda maisha, Na kuona siku njema, Auzuie ulimi wake usinene mabaya, Na midomo yake isiseme uongo.