Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 23:26 - Swahili Revised Union Version

26 Mwanangu, nipe moyo wako; Macho yako yapendezwe na njia zangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Mwanangu, nisikilize kwa makini, shikilia mwenendo wa maisha yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Mwanangu, nisikilize kwa makini, shikilia mwenendo wa maisha yangu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Mwanangu, nisikilize kwa makini, shikilia mwenendo wa maisha yangu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Mwanangu, nipe moyo wako, macho yako na yafuate njia zangu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Mwanangu, nipe moyo wako, macho yako na yafuate njia zangu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

26 Mwanangu, nipe moyo wako; Macho yako yapendezwe na njia zangu.

Tazama sura Nakili




Methali 23:26
17 Marejeleo ya Msalaba  

Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.


Aliye na hekima na ayaangalie hayo; Na wazitafakari fadhili za BWANA.


Heri wazitiio shuhuda zake, Wamtafutao kwa moyo wote.


Shuhuda zako nazo ndizo furaha yangu, Na washauri wangu.


Mwanangu, usiisahau sheria yangu, Bali moyo wako uzishike amri zangu.


Linda moyo wako kuliko yote uyalindayo; Maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.


Naye akanifundisha, akaniambia, Moyo wako uyahifadhi maneno yangu; Shika amri zangu ukaishi.


Ni nani aliye na hekima, naye atayafahamu mambo haya? Ni nani aliye na busara, naye atayajua? Kwa maana njia za BWANA zimenyoka, nao wenye haki watakwenda katika njia hizo; bali waasio wataanguka ndani yake.


Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, na mama yake, na mke wake, na wanawe, na ndugu zake wa kiume na wa kike; naam, na hata nafsi yake mwenyewe, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.


Tena walitenda hivi si kama tulivyotumaini tu, bali kwanza walijitoa nafsi zao kwa Bwana; na kwetu pia, kwa mapenzi ya Mungu.


Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo;


Nawe mpende BWANA, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote.


Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa iangazayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo