Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 14:18 - Swahili Revised Union Version

Akasema, Nileteeni hapa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu akawaambia, “Nileteeni hapa.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawaambia, “Nileteeni hivyo vitu hapa.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akasema, Nileteeni hapa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 14:18
4 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamwambia, Hamna kitu hapa ila mikate mitano na samaki wawili.


Akawaagiza makutano waketi katika majani; akaitwaa ile mikate mitano na wale samaki wawili, akatazama juu mbinguni, akabariki, akaimega ile mikate, akawapa wanafunzi, wanafunzi wakawapa makutano.


Akawaagiza mkutano waketi chini; akaitwaa ile mikate saba, akashukuru, akaimega, akawapa wanafunzi wake wawaandalie; wakawaandalia mkutano.


Yesu akasema, Waketisheni watu. Na mahali pale palikuwa na majani tele. Basi wanaume wakaketi, wapata elfu tano jumla yao.