Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 14:12 - Swahili Revised Union Version

Wanafunzi wake wakaenda, wakamchukua yule maiti, wakamzika; kisha wakaenda wakampasha Yesu habari.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wa Yohane wakaja, wakauchukua mwili wake, wakauzika. Kisha wakaenda kumpasha habari Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wa Yohane wakaja, wakauchukua mwili wake, wakauzika. Kisha wakaenda kumpasha habari Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wa Yohane wakaja, wakauchukua mwili wake, wakauzika. Kisha wakaenda kumpasha habari Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanafunzi wa Yahya wakaja na kuuchukua mwili wake, wakamzika. Kisha wakaenda wakamwambia Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanafunzi wa Yahya wakaja na kuuchukua mwili wake kwenda kuuzika. Kisha wakaenda wakamwambia Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanafunzi wake wakaenda, wakamchukua yule maiti, wakamzika; kisha wakaenda wakampasha Yesu habari.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 14:12
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kichwa chake kikaletwa katika kombe, akapewa yule msichana; akakileta kwa mamaye.


Naye Yesu aliposikia hayo, aliondoka huko katika mashua, akaenda mahali pasipo watu, faraghani. Na makutano waliposikia, walimfuata kwa miguu kutoka mijini mwao.


Wanafunzi wake waliposikia habari, walikwenda, wakauchukua mwili wake, wakauzika kaburini.


Watu watauwa wakamzika Stefano, wakamfanyia maombolezo makuu.