Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 13:6 - Swahili Revised Union Version

Lakini jua lilipozuka ziliungua; na kwa kuwa hazina mizizi zikanyauka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jua lilipochomoza, ziliteketea; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jua lilipochomoza, ziliteketea; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jua lilipochomoza, ziliteketea; na kwa kuwa mizizi yake haikuwa na nguvu, zikanyauka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini jua lilipozidi, mimea ikanyauka na kukauka kwa kuwa mizizi yake haikuwa na kina.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini jua lilipozuka ziliungua; na kwa kuwa hazina mizizi zikanyauka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 13:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Hawataona njaa, wala hawataona kiu; joto halitawapiga, wala jua; kwa maana yeye aliyewarehemu atawatangulia, naam, karibu na chemchemi za maji atawaongoza.


lakini hana mizizi ndani yake, bali hudumu kwa muda; ikitukia dhiki au udhia kwa ajili ya lile neno, mara huchukizwa.


nyingine zikaanguka penye miamba, pasipokuwa na udongo mwingi; zikaota haraka, kwa kukosa udongo wenye kina;


Nyingine zikaanguka penye miiba; ile miiba ikamea, ikazisonga;


hata jua lilipozuka iliungua, na kwa kuwa haina mizizi ikanyauka.


Na wale penye mwamba ndio wale ambao wasikiapo hulipokea lile neno kwa furaha; nao hawana mizizi, huamini kitambo kidogo, na wakati wa kujaribiwa hujitenga.


Kristo akae mioyoni mwenu kwa imani mkiwa na shina na msingi katika upendo;


mkidumu tu katika ile imani, hali mmewekwa juu ya msingi, mkawa imara; msipogeuzwa na kuliacha tumaini la Injili mliyosikia habari zake, iliyohubiriwa kwa viumbe vyote vilivyo chini ya mbingu; ambayo mimi Paulo nilikuwa mhudumu wake.


wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani.


Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu tena, wala jua halitawapiga, wala joto iliyo yote.