Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 12:38 - Swahili Revised Union Version

Hapo baadhi ya Waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha baadhi ya waalimu wa sheria na Mafarisayo wakamwambia Yesu, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha baadhi ya waalimu wa sheria na Mafarisayo wakamwambia Yesu, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha baadhi ya waalimu wa sheria na Mafarisayo wakamwambia Yesu, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha baadhi ya Mafarisayo na walimu wa Torati wakamwambia, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha baadhi ya Mafarisayo na walimu wa Torati wakamwambia, “Mwalimu, tunataka kuona ishara kutoka kwako.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hapo baadhi ya Waandishi na Mafarisayo wakamjibu, wakasema, Mwalimu, twataka kuona ishara kwako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 12:38
9 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.


Wengine walimjaribu, wakimtaka afanye ishara itokayo mbinguni.


Na makutano walipokuwa wakimkusanyikia, alianza kusema, Kizazi hiki ni kizazi kibaya; kinatafuta ishara, wala hakitapewa ishara, ila ishara ya Yona.


Basi Wayahudi wakajibu, wakamwambia, Ni ishara gani utuoneshayo, kwamba unafanya haya?


Basi Yesu akamwambia, Msipoona ishara na maajabu hamtaamini kabisa?


Wakamwambia, Unafanya ishara gani basi, ili tuione tukakuamini? Unatenda kazi gani?


Kwa sababu Wayahudi wanataka ishara, na Wagiriki wanatafuta hekima;