Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 10:34 - Swahili Revised Union Version

Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Msidhani ya kuwa nimekuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 10:34
9 Marejeleo ya Msalaba  

Ole wangu, mama yangu, kwa kuwa umenizaa mtu wa kuteta, na mtu wa kushindana na dunia yote! Mimi sikukopesha kwa riba, wala watu hawakunikopesha kwa riba; lakini kila mmoja wao hunilaani.


Lakini Wayahudi wasioamini wakawataharakisha watu wa Mataifa na kuwatia nia mbaya juu ya ndugu.


Lakini jamii ya watu wa mjini wakafarakana; hawa walikuwa upande wa Wayahudi, na hawa upande wa mitume.


Alipokwisha kusema hayo, Wayahudi wakaenda zao, wakiulizana mengi wao kwa wao.]


Akatoka farasi mwingine, mwekundu sana, na yeye aliyempanda aliruhusiwa kuiondoa amani katika nchi, ili watu wauane, naye akapewa upanga mkubwa.


ili kwamba vizazi vya wana wa Israeli wapate kujua ili kuwafundisha vita, hasa wao ambao hawakujua vita kabla ya wakati ule;