Mathayo 10:33 - Swahili Revised Union Version33 Bali mtu yeyote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Lakini yeyote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Lakini yeyote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Lakini yeyote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Lakini yeyote atakayenikana mimi mbele ya watu, mimi nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Lakini yeyote atakayenikana mimi mbele ya watu, mimi nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI33 Bali mtu yeyote atakayenikana mbele ya watu, nami nitamkana mbele za Baba yangu aliye mbinguni. Tazama sura |