Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 24:7 - Swahili Revised Union Version

Lakini Lisia jemadari akafika akamwondoa mikononi mwetu kwa nguvu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Lusia, mkuu wa jeshi, aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu kutoka mikononi mwetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Lusia, mkuu wa jeshi, aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu kutoka mikononi mwetu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini jemadari Lisia alitujia na nguvu nyingi, akamwondoa mikononi mwetu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini jemadari Lisia alitujia na nguvu nyingi, akamwondoa mikononi mwetu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini Lisia jemadari akafika akamwondoa mikononi mwetu kwa nguvu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 24:7
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana hawalali isipokuwa wametenda madhara; Huondolewa usingizi, ikiwa hawakumwangusha mtu.


Na walipokuwa wakitafuta njia ya kumwua, habari zikamfikia jemadari wa kikosi ya kwamba Yerusalemu imechafuka, mji mzima.


Basi Paulo alipofika darajani ilikuwa kuchukuliwa na askari kwa sababu ya nguvu ya makutano.


Ugomvi mkubwa ulipotokea, yule jemadari akahofia Paulo asije akararuliwa nao, akaamuru askari washuke na kumwondoa kwa nguvu mikononi mwao, na kumleta ndani ya ngome.


Akawaita maofisa wawili, akasema, Wekeni tayari askari mia mbili kwenda Kaisaria, na askari wapanda farasi sabini, na wenye mikuki mia mbili, kabla ya saa tatu usiku.


Na tena alijaribu kulitia hekalu unajisi; tukamkamata; [tukataka kumhukumu kwa sheria yetu.


Akawaamuru wale waliomshitaki waje kwako.] Wewe mwenyewe kwa kumwulizauliza utaweza kupata habari ya mambo yale yote tunayomshitaki sisi.