Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 24:6 - Swahili Revised Union Version

6 Na tena alijaribu kulitia hekalu unajisi; tukamkamata; [tukataka kumhukumu kwa sheria yetu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Tena alijaribu kulikufuru hekalu, nasi tukamtia nguvuni. [Tulitaka kumhukumu kufuatana na sheria yetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Tena alijaribu kulikufuru hekalu, nasi tukamtia nguvuni. [Tulitaka kumhukumu kufuatana na sheria yetu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Tena alijaribu kulikufuru hekalu, nasi tukamtia nguvuni.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 na hata amejaribu kulinajisi Hekalu, hivyo tukamkamata. [Tukataka kumhukumu kufuatana na sheria zetu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 na hata amejaribu kulinajisi Hekalu, hivyo tukamkamata; [tukataka kumhukumu kufuatana na sheria zetu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

6 Na tena alijaribu kulitia hekalu unajisi; tukamkamata; [tukataka kumhukumu kwa sheria yetu.

Tazama sura Nakili




Matendo 24:6
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Pilato akawaambia, Haya! Mtwaeni ninyi, mkamhukumu kwa ile torati yenu! Wayahudi wakamwambia, Sisi hatuna ruhusa ya kuua mtu.


Kwa maana mmewaleta watu hawa, wasioiba vitu vya hekalu wala kumtukana mungu mke wetu.


Walipokuwa wakipiga kelele na kutupa mavazi yao na kurusharusha mavumbi juu,


Watu hawa hawakuniona ndani ya hekalu, nikihojiana na mtu, au kufanya fujo katika mkutano, wala katika masinagogi wala ndani ya mji.


Lakini Lisia jemadari akafika akamwondoa mikononi mwetu kwa nguvu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo