Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 23:5 - Swahili Revised Union Version

Paulo akasema, Sikujua, ndugu zangu, ya kuwa yeye ni Kuhani Mkuu; maana imeandikwa, Usimnenee mabaya mkuu wa watu wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kama yeye ni kuhani mkuu. Maana Maandiko yasema hivi: ‘Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kama yeye ni kuhani mkuu. Maana Maandiko yasema hivi: ‘Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kama yeye ni kuhani mkuu. Maana Maandiko yasema hivi: ‘Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.’”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kwamba yeye alikuwa kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usimnenee mabaya kiongozi wa watu wako.’”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kwamba yeye alikuwa kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usimnenee mabaya kiongozi wa watu wako.’ ”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Paulo akasema, Sikujua, ndugu zangu, ya kuwa yeye ni Kuhani Mkuu; maana imeandikwa, Usimnenee mabaya mkuu wa watu wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 23:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Usimtukane Mungu, wala usimlaani mkuu wa watu wako.


Usimlaani mfalme, la, hata katika wazo lako; Wala usiwalaani wakwasi chumbani mwako; Kwa kuwa ndege wa anga ataichukua sauti, Na mwenye mabawa ataitoa habari.


Wale waliosimama karibu wakasema, Je! Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu?


Baada ya miaka mingi nilifika niwaletee watu wa taifa langu sadaka na matoleo.


na hasa wale waufuatao mwili katika tamaa ya mambo machafu, na kudharau mamlaka.