2 Petro 2:10 - Swahili Revised Union Version10 na hasa wale waufuatao mwili katika tamaa ya mambo machafu, na kudharau mamlaka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 hasa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kupuuza mamlaka. Watu hao ni wakaidi na wenye majivuno, huvitukana na hawaviheshimu viumbe vitukufu vya juu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 hasa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kupuuza mamlaka. Watu hao ni wakaidi na wenye majivuno, huvitukana na hawaviheshimu viumbe vitukufu vya juu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 hasa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kupuuza mamlaka. Watu hao ni wakaidi na wenye majivuno, huvitukana na hawaviheshimu viumbe vitukufu vya juu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Hii ni hakika hasa kwa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kudharau mamlaka. Kwa ushupavu na kwa kiburi, watu hawa hawaogopi kunena mabaya dhidi ya viumbe vya mbinguni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Hii ni hakika hasa kwa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kudharau mamlaka. Kwa ushupavu na kwa kiburi, watu hawa hawaogopi kunena mabaya dhidi ya viumbe vya mbinguni. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 na hasa wale waufuatao mwili katika tamaa ya mambo machafu, na kudharau mamlaka. Tazama sura |