Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 23:5 - Swahili Revised Union Version

5 Paulo akasema, Sikujua, ndugu zangu, ya kuwa yeye ni Kuhani Mkuu; maana imeandikwa, Usimnenee mabaya mkuu wa watu wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kama yeye ni kuhani mkuu. Maana Maandiko yasema hivi: ‘Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kama yeye ni kuhani mkuu. Maana Maandiko yasema hivi: ‘Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.’”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kama yeye ni kuhani mkuu. Maana Maandiko yasema hivi: ‘Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kwamba yeye alikuwa kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usimnenee mabaya kiongozi wa watu wako.’”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Paulo akajibu, “Ndugu zangu, sikujua kwamba yeye alikuwa kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usimnenee mabaya kiongozi wa watu wako.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 Paulo akasema, Sikujua, ndugu zangu, ya kuwa yeye ni Kuhani Mkuu; maana imeandikwa, Usimnenee mabaya mkuu wa watu wako.

Tazama sura Nakili




Matendo 23:5
6 Marejeleo ya Msalaba  

Usimtukane Mungu, wala usimlaani mkuu wa watu wako.


Usimlaani mfalme, la, hata katika wazo lako; Wala usiwalaani wakwasi chumbani mwako; Kwa kuwa ndege wa anga ataichukua sauti, Na mwenye mabawa ataitoa habari.


Wale waliosimama karibu wakasema, Je! Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu?


Baada ya miaka mingi nilifika niwaletee watu wa taifa langu sadaka na matoleo.


na hasa wale waufuatao mwili katika tamaa ya mambo machafu, na kudharau mamlaka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo