Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 19:5 - Swahili Revised Union Version

Waliposikia haya wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baada ya kusikia hayo, walibatizwa kwa jina la Bwana Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baada ya kusikia hayo, walibatizwa kwa jina la Bwana Yesu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baada ya kusikia hayo, walibatizwa kwa jina la Bwana Yesu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Waliposikia haya, wakabatizwa katika jina la Bwana Isa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Waliposikia haya, wakabatizwa katika jina la Bwana Isa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Waliposikia haya wakabatizwa kwa jina la Bwana Yesu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 19:5
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akaamuru wabatizwe kwa Jina lake Yesu Kristo. Ndipo wakamsihi azidi kukaa siku kadhaa.


Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu.


Lakini walipomwamini Filipo, akizihubiri Habari Njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na wanawake.


kwa maana bado hajawashukia hata mmoja wao, ila wamebatizwa tu kwa jina lake Bwana Yesu.


wote wakabatizwa wawe wa Musa katika wingu na katika bahari;