Matendo 8:12 - Swahili Revised Union Version12 Lakini walipomwamini Filipo, akizihubiri Habari Njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na wanawake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Lakini walipouamini ujumbe wa Filipo juu ya Habari Njema ya ufalme wa Mungu na jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanawake na wanaume. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Lakini walipouamini ujumbe wa Filipo juu ya Habari Njema ya ufalme wa Mungu na jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanawake na wanaume. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Lakini walipouamini ujumbe wa Filipo juu ya Habari Njema ya ufalme wa Mungu na jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanawake na wanaume. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Lakini watu walipomwamini Filipo akihubiri Injili ya ufalme wa Mungu na jina la Isa Al-Masihi, wakabatizwa, wanaume na wanawake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Lakini watu walipomwamini Filipo alipohubiri habari njema za Ufalme wa Mwenyezi Mungu na jina la Isa Al-Masihi, wakabatizwa wanaume na wanawake. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Lakini walipomwamini Filipo, akizihubiri Habari Njema za ufalme wa Mungu, na jina lake Yesu Kristo, wakabatizwa, wanaume na wanawake. Tazama sura |