Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Matendo 8:11 - Swahili Revised Union Version

11 Wakamsikiliza, kwa maana amewashangaza muda mwingi kwa uchawi wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Walivutiwa sana naye kwa vile alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake kwa muda mrefu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Walivutiwa sana naye kwa vile alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake kwa muda mrefu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Walivutiwa sana naye kwa vile alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake kwa muda mrefu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wakamfuata kwa sababu kwa muda mrefu alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Wakamfuata kwa sababu kwa muda mrefu alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Wakamsikiliza, kwa maana amewashangaza muda mwingi kwa uchawi wake.

Tazama sura Nakili




Matendo 8:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nizitanguaye ishara za waongo, na kuwatia waganga wazimu; niwarudishaye nyuma wenye hekima, na kuyageuza maarifa yao kuwa ujinga;


Na wakati watakapokuambia, Tafuta habari kwa watu wenye pepo na kwa wachawi; waliao kama ndege na kunong'ona; je! Haiwapasi watu kutafuta habari kwa Mungu wao? Je! Waende kwa watu waliokufa kwa ajili ya watu walio hai?


Walipokwisha kupita katikati ya kisiwa chote mpaka Pafo, wakaona mtu mmoja, mchawi, nabii wa uongo, Myahudi jina lake Bar-Yesu;


Na mtu mmoja, jina lake Simoni, hapo kwanza alikuwa akifanya uchawi katika mji ule, akiwashangaza watu wa taifa la Wasamaria, akisema ya kuwa yeye ni mtu mkubwa.


Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga, ninyi ambao Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele ya macho yenu ya kuwa amesulubiwa?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo