Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Matendo 1:17 - Swahili Revised Union Version

kwa sababu alikuwa amehesabiwa pamoja na sisi, akapata sehemu ya huduma hii.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu, maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu.” (

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu, maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu.” (

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yuda alikuwa mmoja wa kikundi chetu, maana alichaguliwa ashiriki huduma yetu.” (

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yuda alikuwa mmoja wetu, kwa maana na yeye alichaguliwa ashiriki katika huduma hii.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yuda alikuwa mmoja wetu, kwa maana na yeye alichaguliwa ashiriki katika huduma hii.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa sababu alikuwa amehesabiwa pamoja na sisi, akapata sehemu ya huduma hii.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Matendo 1:17
13 Marejeleo ya Msalaba  

Simoni Mkananayo, na Yuda Iskarioti, naye ndiye aliyemsaliti.


na Yuda Iskarioti, ndiye aliyemsaliti. Kisha akaingia nyumbani.


Basi alipokuwa katika kusema, tazama, mkutano wa watu, na yule aitwaye Yuda, ambaye ni mmoja wa wale Kumi na Wawili, amewatangulia. Akamkaribia Yesu ili kumbusu.


na Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskarioti, ndiye aliyekuwa msaliti.


Nilipokuwapo pamoja nao, mimi niliwalinda kwa jina lako ulilonipa, nikawatunza; wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, ila yule mwana wa upotevu, ili andiko litimie.


ashike mahali katika huduma hii na utume huu, alioukosa Yuda, aende zake mahali pake mwenyewe.


Na Barnaba na Sauli, walipokwisha kutimiza huduma yao, wakarejea kutoka Yerusalemu, wakamchukua pamoja nao Yohana aitwaye Marko.


Lakini siyahesabu maisha yangu kuwa kitu cha thamani kwangu kama kuumaliza mwendo wangu na huduma ile niliyopokea kwa Bwana Yesu, kuishuhudia Habari Njema ya neema ya Mungu.


Na baada ya kuwaamkua, akawaeleza mambo yote moja moja Mungu aliyoyatenda katika Mataifa kwa huduma yake.


Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei;


Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho;