Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 3:19 - Swahili Revised Union Version

19 na Yuda Iskarioti, ndiye aliyemsaliti. Kisha akaingia nyumbani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Yuda Iskarioti ambaye alimsaliti Yesu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 na Yuda Iskariote aliyemsaliti Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 na Yuda Iskariote aliyemsaliti Isa.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

19 na Yuda Iskarioti, ndiye aliyemsaliti. Kisha akaingia nyumbani.

Tazama sura Nakili




Marko 3:19
13 Marejeleo ya Msalaba  

Simoni Mkananayo, na Yuda Iskarioti, naye ndiye aliyemsaliti.


Basi alipokuwa katika kusema, tazama, Yuda, mmoja wa wale Kumi na Wawili akaja, na pamoja naye kundi kubwa wenye panga na marungu, wametoka kwa wakuu wa makuhani na wazee wa watu.


na Andrea, na Filipo, na Bartholomayo, na Mathayo, na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Thadayo, na Simoni Mkananayo,


Mkutano wakakusanyika tena, hata wao wenyewe wasiweze hata kula mkate.


Wakafika Kapernaumu; hata alipokuwamo nyumbani, akawauliza, Mlishindania nini njiani?


Hata wakati wa chakula cha jioni; naye Ibilisi amekwisha kumtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, moyo wa kumsaliti;


Lakini kuna wengine miongoni mwenu wasioamini. Kwa maana Yesu alijua tangu mwanzo ni nani wasioamini, naye ni nani atakayemsaliti.


Alimnena Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti; maana huyo ndiye atakayemsaliti; naye ni mmojawapo wa wale Kumi na Wawili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo