Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 3:20 - Swahili Revised Union Version

20 Mkutano wakakusanyika tena, hata wao wenyewe wasiweze hata kula mkate.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Kisha Yesu alikwenda nyumbani. Umati wa watu ukakusanyika tena, hata Yesu na wafuasi wake wasiweze kupata nafasi ya kula chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Kisha Isa alipoingia ndani ya nyumba, umati wa watu wakakusanyika tena, kiasi kwamba yeye na wanafunzi wake hawakuweza kula chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Kisha Isa aliporudi nyumbani, umati wa watu ukakusanyika tena, kiasi kwamba yeye na wanafunzi wake hawakuweza kula chakula.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Mkutano wakakusanyika tena, hata wao wenyewe wasiweze hata kula mkate.

Tazama sura Nakili




Marko 3:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini akatoka, akaanza kuhubiri maneno mengi, na kulitangaza lile neno, hata Yesu asiweze tena kuingia mjini waziwazi; bali alikaa nje mahali pasipokuwa na watu, wakamwendea kutoka kila upande.


Akaingia Kapernaumu tena, baada ya siku kadhaa, ikasikiwa ya kwamba yumo nyumbani.


na Yuda Iskarioti, ndiye aliyemsaliti. Kisha akaingia nyumbani.


Naye Yesu akajitenga, yeye na wanafunzi wake, akaenda baharini. Mkutano mkuu ukamfuata, kutoka Galilaya, na Yudea,


Akawaambia wanafunzi wake ya kwamba mashua ndogo ikae karibu naye, kwa sababu ya mkutano, wasije wakamsonga.


Akawaambia, Njooni ninyi peke yenu kwa faragha, mahali pasipokuwa na watu, mkapumzike kidogo. Kwa sababu walikuwako watu wengi, wakija, wakienda, hata haikuwapo nafasi ya kula.


Hata alipoingia nyumbani, ameuacha mkutano, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu ule mfano.


Alipoingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kwa faragha, Mbona sisi hatukuweza kumtoa?


Akashuka pamoja nao, akasimama mahali tambarare, pamoja na wanafunzi wake wengi, na makutano makubwa ya watu waliotoka Yudea wote na Yerusalemu, na pwani ya Tiro na Sidoni; waliokuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo