Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 8:9 - Swahili Revised Union Version

Na watu waliokula walikuwa elfu nne. Akawaaga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nao waliokula walikuwa watu wapatao 4,000. Yesu akawaaga,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nao waliokula walikuwa watu wapatao 4,000. Yesu akawaaga,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nao waliokula walikuwa watu wapatao 4,000. Yesu akawaaga,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu waliokula walikuwa wapata elfu nne. Baada ya kuwaaga,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu waliokula walikuwa wapata 4,000. Akiisha kuwaaga,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na watu waliokula walikuwa elfu nne. Akawaaga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 8:9
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.


Mara akapanda katika mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda pande za Dalmanutha.


Wakala, wakashiba, wakakusanya mabaki ya vipande vya mikate vikapu saba.


Akawachukua wale Kumi na Wawili, akawaambia, Tazameni, tunapanda kwenda Yerusalemu, na mambo yote, Mwana wa Adamu aliyoandikiwa na manabii yatatimizwa.