Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 8:32 - Swahili Revised Union Version

Naye alikuwa akinena neno hilo waziwazi. Petro akamchukua, akaanza kumkemea.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. Hapo, Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. Hapo, Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu aliwaambia jambo hilo waziwazi. Hapo, Petro akamchukua kando, akaanza kumkemea.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Aliyasema haya waziwazi. Ndipo Petro akamchukua kando na akaanza kumkemea.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Aliyasema haya waziwazi, ndipo Petro akamchukua kando na akaanza kumkemea.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naye alikuwa akinena neno hilo waziwazi. Petro akamchukua, akaanza kumkemea.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 8:32
9 Marejeleo ya Msalaba  

Petro akamchukua, akaanza kumkemea, akisema, La hasha! Bwana, hayo hayatakupata.


Naye mwenyewe alikuwapo katika shetri, amelala juu ya mto; wakamwamsha, wakamwambia, Mwalimu, si kitu kwako kuwa tunaangamia?


Lakini Martha alikuwa akihangaika kwa utumishi mwingi; akamwendea, akasema, Bwana, huoni vibaya hivyo dada yangu alivyoniacha nifanye kazi peke yangu? Basi mwambie anisaidie.


Basi Wayahudi walimzunguka, wakamwambia, Hata lini utatuhangaisha nafsi zetu? Kama wewe ndiwe Kristo, utuambie waziwazi.


Basi hapo Yesu akawaambia waziwazi, Lazaro amekufa.


Hayo nimesema nanyi kwa mithali; saa inakuja ambapo sitasema nanyi tena kwa mithali, lakini nitawapa waziwazi habari ya Baba.


Basi wanafunzi wake wakasema, Tazama, sasa wasema waziwazi, wala huneni mithali yoyote.


Yesu akamjibu, Mimi nimesema na ulimwengu waziwazi; sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu, wakusanyikapo Wayahudi wote; wala mimi sikusema neno lolote kwa siri.