Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 7:7 - Swahili Revised Union Version

Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huniabudu bure, nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huniabudu bure, nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 7:7
15 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana akanena, Kwa kuwa watu hawa hunikaribia na kuniheshimu kwa vinywa vyao, bali mioyo yao wamefarakana nami, na kicho chao walichonacho kwangu ni maagizo ya wanadamu waliyofundishwa;


Mmesema, Kumtumikia Mungu hakuna faida; na, Tumepata faida gani kwa kuyashika maagizo yake, na kwa kwenda kwa huzuni mbele za BWANA wa majeshi?


Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.


Nanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.


tena kama Kristo hakufufuka, basi, kuhubiri kwetu ni bure na imani yenu ni bure.


Basi, ndugu zangu wapendwa, mwimarike, msitikisike, mkazidi sana kutenda kazi ya Bwana sikuzote, kwa kuwa mnajua ya kwamba taabu yenu siyo bure katika Bwana.


Neno lolote ninalowaagiza lizingatieni, usilizidishe, wala usilipunguze.


(mambo hayo yote huharibika wakati wa kutumiwa); hali mkifuata maagizo na mafundisho ya wanadamu?


Lakini ujiepushe na mabishano ya kipumbavu, nasaba, magomvi, na mabishano ya sheria. Kwa kuwa hayana manufaa, tena hayafai kitu.


Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, ili hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai.


Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?


Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu yeyote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.


Wala msigeuke upande, maana, kufuata vitu vya ubatili,