Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 7:8 - Swahili Revised Union Version

8 Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushika desturi za watu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Ninyi mwaiacha amri ya Mungu, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.

Tazama sura Nakili




Marko 7:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Mjapo ili kuonekana mbele zangu, ni nani aliyetaka neno hili mikononi mwenu, kuzikanyaga nyua zangu?


Basi wale Mafarisayo na waandishi wakamwuliza, Mbona wanafunzi wako hawaendi kwa kuyafuata mapokeo ya wazee, bali hula chakula kwa mikono najisi?


Nami niliendelea katika dini ya Kiyahudi kuliko wengi walio hirimu zangu katika kabila yangu, nikajitahidi sana katika kuyashika mapokeo ya baba zangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo