Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:39 - Swahili Revised Union Version

Akawaagiza wawaketishe wote, vikao vikao, penye majani mabichi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yesu akawaamuru wanafunzi wawaketishe watu wote makundimakundi penye nyasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yesu akawaamuru wanafunzi wawaketishe watu wote makundimakundi penye nyasi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yesu akawaamuru wanafunzi wawaketishe watu wote makundimakundi penye nyasi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha Isa akawaamuru wawaketishe watu makundi makundi kwenye majani,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha Isa akawaamuru wawaketishe watu makundi makundi kwenye majani,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawaagiza wawaketishe wote, vikao vikao, penye majani mabichi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:39
9 Marejeleo ya Msalaba  

na chakula cha mezani pake, na maofisa wake walivyokaa, na kuhudumu kwao wahudumu wake, na mavazi yao, na wanyweshaji wake, na sadaka zake za kuteketezwa ambazo alizitoa katika nyumba ya BWANA, roho yake ilizimia.


Akawaagiza mkutano waketi chini;


Akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Nendeni mkatazame. Walipokwisha kujua wakasema, Mitano, na samaki wawili.


Wakaketi safu safu, hapa mia hapa hamsini.


Kwa kuwa wanaume waliokuwako walikuwa kama elfu tano. Akawaambia wanafunzi wake, Waketisheni watu kwa safu, kila safu watu hamsini.


Yesu akasema, Waketisheni watu. Na mahali pale palikuwa na majani tele. Basi wanaume wakaketi, wapata elfu tano jumla yao.


Kwa maana Mungu si Mungu wa machafuko, bali wa amani; vile vile kama ilivyo katika makanisa yote ya watakatifu.


Lakini mambo yote na yatendeke kwa uzuri na kwa utaratibu.