Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 6:38 - Swahili Revised Union Version

38 Akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Nendeni mkatazame. Walipokwisha kujua wakasema, Mitano, na samaki wawili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi? Nendeni kutazama.” Walipokwisha tazama, wakamwambia, “Kuna mikate mitano na samaki wawili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi? Nendeni kutazama.” Walipokwisha tazama, wakamwambia, “Kuna mikate mitano na samaki wawili.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Yesu akawauliza, “Mnayo mikate mingapi? Nendeni kutazama.” Walipokwisha tazama, wakamwambia, “Kuna mikate mitano na samaki wawili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Akawauliza, “Kuna mikate mingapi? Nendeni mkaangalie.” Walipokwisha kujua, wakarudi, wakamwambia, “Kuna mikate mitano na samaki wawili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Akawauliza, “Kuna mikate mingapi? Nendeni mkaangalie.” Walipokwisha kujua wakarudi, wakamwambia, “Kuna mikate mitano na samaki wawili.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

38 Akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Nendeni mkatazame. Walipokwisha kujua wakasema, Mitano, na samaki wawili.

Tazama sura Nakili




Marko 6:38
7 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Mnayo mikate mingapi? Wakasema, Saba, na visamaki vichache.


Akajibu, akawaambia, Wapeni ninyi chakula. Wakamwambia, Je! Twende tukanunue mikate ya dinari mia mbili ili tuwape kula?


Akawaagiza wawaketishe wote, vikao vikao, penye majani mabichi.


Akawauliza, Mnayo mikate mingapi? Wakasema, Saba,


Akawaambia, Wapeni ninyi chakula. Wakasema, Hatuna kitu zaidi ya mikate mitano na samaki wawili, tusipokwenda tukawanunulie watu hawa wote vyakula.


Yupo hapa mtoto, ana mikate mitano ya shayiri na samaki wawili, lakini hivi ni nini kwa watu wengi kama hawa?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo