Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 6:29 - Swahili Revised Union Version

Wanafunzi wake waliposikia habari, walikwenda, wakauchukua mwili wake, wakauzika kaburini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanafunzi wa Yohane walipopata habari, walikwenda wakauchukua mwili wake, wakauzika kaburini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanafunzi wa Yohane walipopata habari, walikwenda wakauchukua mwili wake, wakauzika kaburini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanafunzi wa Yohane walipopata habari, walikwenda wakauchukua mwili wake, wakauzika kaburini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanafunzi wa Yahya walipopata habari hizi, wakaja na kuuchukua mwili wake, wakauzika kaburini.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanafunzi wa Yahya walipopata habari hizi, wakaja na kuuchukua mwili wake, wakauzika kaburini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wanafunzi wake waliposikia habari, walikwenda, wakauchukua mwili wake, wakauzika kaburini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 6:29
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakamzika katika mji wa Daudi kati ya wafalme, kwa sababu ametenda mema katika Israeli, na kwa Mungu, na katika nyumba yake.


Wanafunzi wake wakaenda, wakamchukua yule maiti, wakamzika; kisha wakaenda wakampasha Yesu habari.


akakileta kichwa chake katika kombe, akampa yule kijana, naye yule kijana akampa mamaye.


Na mitume wakakusanyika mbele ya Yesu; wakampa habari za mambo yote waliyoyafanya, na mambo yote waliyoyafundisha.


Watu watauwa wakamzika Stefano, wakamfanyia maombolezo makuu.