Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 3:30 - Swahili Revised Union Version

kwa vile walivyosema, Ana pepo mchafu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”)

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”)

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yesu alisema hivyo kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”)

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Isa alisema hivi kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Isa alisema hivi kwa sababu walikuwa wanasema, “Ana pepo mchafu.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

kwa vile walivyosema, Ana pepo mchafu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 3:30
4 Marejeleo ya Msalaba  

Nao waandishi walioshuka kutoka Yerusalemu wakasema, Ana Beelzebuli, na, Kwa mkuu wa pepo huwatoa pepo.


bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele,


Wakaja mamaye na nduguze; wakasimama nje, wakatuma mtu kumwita.


Wengi wao wakasema, Ana pepo huyu, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?